Friday, October 15, 2010

HAYA NDO MAMBO YA CCM MKOANI MWANZA





HAYA NDO MAMBO YA CCM MKOANI MWANZA KATIKA KAMPENI ZA MGOMBEA UBUNGE WA JIMBO LA NYAMAGANA MH. LAWLENCE K. MASHA.

Thursday, October 14, 2010

MREMBO KUTOKA CHANG'OMBE

HUYU NI VICTORIA HENRY MREMBO KUTOKA CHANG'OMBE a.k.a ( Playboy gal) the one and only in tanzania playboy gal.

AMERICAN ARTIST

Mwanamuziki wa kimarekani known as Rihanna akicheza game.

Saturday, September 18, 2010

QUENNE OF TANZANIA


MISS TANZANIA 2010-2011 AKIWA NA WENZAKE MSHINDI WA PILI NA WATATU.

NUMBER 1 IN TANZANIA

MISS TANZANIA 2010 - 2011 GENEVIEVE EMMANUL MPANGALA.

Tuesday, August 10, 2010

LIL KIM AKIWA NA JUMA NATURE "KIROBOTO"

Mwanamuziki wa kimataifa kutoka marekani lil kim ambaye alitua hapa bongo kwa onesho la fiesta season 9 lililofanyika leaders club kinondoni, lil kim alipaform live na juma nature ikiwa kama ishara ya kukubari kazi na uwezo wa juma nature,lil kim aliweka bayana kuwa atarecord nyimbo na juma nature lil aliweka bayana hayo wakati akiagana na joseph kusaga na kusema kuwa amefuraishwa sana na ushirikiano aliopewa na juma nature na watanzania kwa ujumla hivyo ameaidi kurecord remix ya nyimbo zake na za juma pia na inasemekana kuwa amechukua nyimbi za juma nature kwaajili ya kusikiliza nakujua atazifanyeje remix yake.

LIL KIM NDANI YA BONGO


Mwanamuziki kutoka marekani lil kim akiwa air port ya dar es salaam wakati akiwasili kwajili ya onesho lilifanyika siku ya tarehe 7 mwezi wa 8 siku ya tamasha la fiesta season ya 9 mwaka 2010.