Friday, December 24, 2010

KIBRA SIR NATURER

Msitu wa vina alivyopagwawisha kwenye season ya fiesta 2010 inasemekana ndo shoo kari zaid kati ya sho zote zilizo fanyika mwaka 2010. na juma nature ndo msanii aliye ngara pale kati. Ongeleni sana clouds fm ,clouds tv and all member of clouds entertainment big up.

AFTER XUL BASH

Adam mchomvu akimlusha mwana dada pale kati ndani ya wet n wild waki pale kwenye after xul bash.

SUSPENDER HIZOOOOOOOOOOO


Suspender hizooooooooooo hayahaya wakari wa miregezo na wasanii wanao shikaga kwenye nanii?????????????? hapa watakuwa awashiki tena wana achia tu aitelemki ngooooooooooo.

Tuesday, November 9, 2010

CHADEMA HIYOOOOOOOOOOOOO


Sasa wadau hawa watoto hii bendera wamepewa washike au ni kweri wana chadema mh siasa hii mpaka wa toto tena.

HII NDIO CCM VIJIJINI


Hii ndio ccm vijijini uko sasa me sijui hapa ni kwa mjumbe diwani au mwenyekiti wa serikari za mtaa labda wadau mnisaidie.

BEYONCE


Beyonce akiwa kwenye muonekano tofauti muonekano wa jinsi atakavyokuwa atakapo kuwa na mimba.

SUPER ECTOR IN BONGO


Msanii mkari kwa wanawake bongo kwa sasa mwenye ku act kwa hisia na na mvuto wa hari ya juu kwa muonekano.