Friday, January 28, 2011

PIKIPIKI NA AJARI

Jamani polisi haya mambo ni yakutilia mkazo ra sivyo vilema watakuwa wengi sana kwa sababu ya pikipiki.

KITCHEN PARTY

Haya ndo mambo yaliyo jificha kwenye kitchen party jamani mhhh.

MEZI NA SHERIA MKONONI

Jamani kweli wezi wanauzi rakini tusichukue sheria mkononi.

FLAVIANA MATATA & AY


Vip hapa kati wadau me sielewi?

THE STAR WOLPER

This is wolper the actor.



















Thursday, January 20, 2011

YANGA HII SIO YA SASA


YANGA YA SASA ITAFANYA NINI MPAKA WATU WAJAE HIVI JAMANI HII ILIKUWA MARCH 2006.

HII NDO DAR ES SALAAM

MGENI KUTOKA KIJIJINI UKIJA MJINI KUWA MAKINI DAR YA SASA SIO KAMA YA ZAMANI.

HIYO NDO ILIVYO


JE INGEKUWA HIVI INGEKUWAJE?

AMIN & LINAH

Amini na linah wasanii kutoka THT.

HAYO NDO MAJINA YA PUB ZA DAR


SASA JAMANI PUB INAITWA SIMBA KAPAKATWA PUB KWELI MPENZIWA SIMBA ATAKUJA KUNYWA HAPO KWELI SIJUI.

HAYA SASA MNAOPENDA VURUGU

JAMANI JAMANI TUSIKUBALI KUDANGANYWA NA WATU WACHACHE KWA MASLAI YAO BINAFSI TUTAUMIA SANA HUU NI MFANO WAKUJIFUNZA KUTOKA KWAO HII NI IVORY COST.

Friday, January 14, 2011

HAYA HAYA JAMANI


Haya haya wadada wapenda shep na wakaka wapenda nanii?....... kubwa na nguvu kwajiri ya kukomoa haya sasa hili ni bango moja rakini yapo mengi mjini kwaiyo chaguo ni lako mwenyewe kama ni kusuka hama kunyoa wewe sasa.

Thursday, January 13, 2011

BONGO CITY CENTER

Hii ndo dar city center

HARUSI HIYOO

Mambo ya hayawi hayawi sasa yamekuwa.

Monday, January 10, 2011

RAIS JAKAYA M KIKWETE & DOGO JANJA

Rais wa tanzania akiwa na new hip hop artist from a town to dar under tip top connection.

Thursday, January 6, 2011

MSUSI

Haya sasa mnaotakaga kusukwa na wamasai mpo.

MAMBO YA KITENGE HAYO


Jamani mambo ya kitenge hayo mpo

WINGA MPYA MKARI MAN UTD

CHICHARITO the new christian ronardo in united traford.

MANCHESTER UNITED BED


MASHABIKI VIPI HAPA KATI INAKUAJE?

AJALI AJALI AJALI AJALI

Jamani jamani ajali hizo kwani tatizo liko wapi? tatizo ni madereva au barabara au trafiki au nani? tatizo la ajali ni nani jamani?