Tuesday, August 10, 2010

LIL KIM AKIWA NA JUMA NATURE "KIROBOTO"

Mwanamuziki wa kimataifa kutoka marekani lil kim ambaye alitua hapa bongo kwa onesho la fiesta season 9 lililofanyika leaders club kinondoni, lil kim alipaform live na juma nature ikiwa kama ishara ya kukubari kazi na uwezo wa juma nature,lil kim aliweka bayana kuwa atarecord nyimbo na juma nature lil aliweka bayana hayo wakati akiagana na joseph kusaga na kusema kuwa amefuraishwa sana na ushirikiano aliopewa na juma nature na watanzania kwa ujumla hivyo ameaidi kurecord remix ya nyimbo zake na za juma pia na inasemekana kuwa amechukua nyimbi za juma nature kwaajili ya kusikiliza nakujua atazifanyeje remix yake.

LIL KIM NDANI YA BONGO


Mwanamuziki kutoka marekani lil kim akiwa air port ya dar es salaam wakati akiwasili kwajili ya onesho lilifanyika siku ya tarehe 7 mwezi wa 8 siku ya tamasha la fiesta season ya 9 mwaka 2010.

USOKAZI CREW NEW YEAR 1999

Usokazi crew pamoja usiku wa mwaka mpya mwaka 1999 mtaa wa luhumbo kinondoni near home alone base vijana.

Wednesday, August 4, 2010

HAYA NDO MAMBO YA WEIGHT


MANZESE HIYO.

HAYA NDO MAMBO YA MOTO

JAMANI MSIWE MNAKIMBILIA MAFUTA MAGARI YA MAFUTA YAKIPATA AJALI MNAONA MAZALA YAKE.

JAMANI ARSENAL POLENI

Poleni mashabiki wote wa arsenal msijali labada msimu huu msikate tamaa. ndovyo mashabiki wa man walivyokuwa wanasema na ndio walishiliki kwa karibu sana mpaka sioku ya kuzika.